Timu ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars' leo jioni inatarajiwa kuondoka kwenda nchini Rwanda, kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya nchi hiyo 'Amavubi', huku ikikabidhiwa uzi mpya wa timu ya taifa, ambao ndio utakua ukitumika katika mechi mbalimbali.
No comments:
Post a Comment