Jamaa ana skills na uzoefu mwingi ktk mchezo huu wa Basket Tanzania, kiasi cha kuweza kuibua vipaji vingi vya Mpira wa kikapu kuanzia kwa watoto wadogo na kufikia level za kina Hashim Thabeet.
Selemani Semunyu aka Super Tall alipokuwa anarudisha fomu ya kugombea nafasi hiyo ya Kamishna Kamisheni ya Watoto TBF
Uchaguzi wa viongozi wapya wa TBF utafanyika tarehe 28 Novemba ya mwezi huu baada ya kuahirishwa hapo awali.
Mdau huu ni wakati wetu kuwapigia kura viongozi wa ukweli watakao fanya mageuzi ya ukweli ktk chama cha Mpira wa Basket Tanzani (TBF) kwa miaka minne ijayo.
No comments:
Post a Comment