Thursday, June 11, 2009

TUKACHANGIE DAMU JUMAPILI HII JUNE 14!!

Kila siku ya tarehE 14/06/2009 duniani huadhimishwa siku ya uchangiaji damu.


Kitaifa itafanyikia mkoani mbeya, pia popote pale ulipo kwenye vituo vya afya unaweza kwenda kuchangia damu kwa ajili ya wenzetu wanaoteseka hata wengine kufariki kwa sababu ya ukosefu wa damu mwilini;







HAYA SHIME VIJANA WENZANGU TWENDENI TUNACHANGIE DAMU BILA KUOGOPA!!!

No comments:

Post a Comment