Monday, July 18, 2016

Miss CHANG'OMBE 2016 KUSINDIKIZWA na TID & CASSIM MGANGA...JULY 22 @CDS PARK zamani TCC Club, Chang'ombe!

TID

Fainali ya shindano la Miss Chang'ombe 2016 litafanyika Ijumaa ya tarehe 22 Julai ktk ukumbi wa burudani CDS PARK Zamani TCC Club Chang'ombe, ambapo warembo 15 waliojifua vya kutosha watapanda stejini kuchuana kwa ajili ya taji hilo.
Baadhi ya washiriki miss chang'ombe


Kinyang'anyiro hicho kitasindikizwa na burudani kibao kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwe TID Mnyama, Kassim Mganga (Tajiri wa mahaba) na mkali wa hiphop anayetumia jina la Chadogg aka Big boss.
Dogo Pepe

Pia kutakuwa na special appearance kutoka kwa Gabo Zigamba mkali wa bongo movie anayetamba vilivyo ktk medani hizo, na Host wa show nzima atakuwa Dogo Pepe 'the stand comedian'
Gabo Zigamba

Show itaanza mishale ya saa 2 za usiku na kiingilio ni Tshs. 10,000 tu... Baada ya show ya warembo kumalizika Dj Mafuvu atapiga Disko kali mpaka liamba!

Alichokifanya TID tamasha la ZIFF

Tuesday, July 5, 2016

MISS CHANG'OMBE 2016 WATEMBELEA 'ZA KWETU AFRIKA' SABASABA!!


Baadhi ya washiriki katika kinyanganyiro cha Miss Chang'ombe 2016 wakimtembelea mmoja kati ya wadhamini wao 'ZA KWETU AFRIKA' ktk Viwanja vya maonyesho ya 40 ya Sabasaba yanayoendelea jijini DSM


Warembo wakijaribu baadhi ya vito vya urembo mbalimbali uliobuniwa na Mbunifu ASHA wa kampuni ya 'ZA KWETU AFRIKA


Bi ASHA SAID mbunifu wa mavazi ya ki-Afrika akiwa katikati ya warembo wa kitongoji cha Chang'ombe 2016 walipomtembelea ktk banda lake la Pride Sabasaba

KAMA NANII - CJAMOKER ft P The MC & ZAiiD (Official Music Video)

Welcome to !The International Afrika Festival Tübingen in Germany


Enie Susan Tatah, CEO of Afrikactive and African International Festival,Tubingen ,Germany

The International Afrika Festival Tübingen in Southern Germany The Republic of Burundi is country of honor 2016 From the 21 to 24 July 2016, Tübingen International Africa Festival in Germany opens it doors wide open to arts, culture, dialog tourism, media.. operators under the theme „ not black, not white but colored for a peaceful world“ Exhibitors, festival lovers and cultural tourist in search of plattforms for a short vacation are cordially invited to attend and enjoy.

 Founded since 2007 by Sunjo & Susan TATAH; the International Africa Festival Tübingen in Germany, is a FOUR DAY annual festival with focused on showing casing Africa´s role and contribution to humanity and diversity as well as world peace and stability bringing people of African descent and others from all over the globe, irrespective of their countries of origin, religious background, gender and status together.The Festival tells the story of people of Africa descent worldwide, thereby providing a platform to all African interested persons to share and be part of the heritage.

As a young, dynamic rapidly growing forward thinking NGO, The International African Festival Tübingen is a platform for mobilization and presentation of cultural activist, Business and developmental activist, , individual donors and philantrophic activist in all sectors. The festival is a compact format composed of a varierty of authentic projects- presenting Africa´s know-how – Huge market of Arts, Handworks, Authors, Producers, Designers, Film makers, culinary Arts… as well as full package entertainment such as talents shows with bands playing live music, traditional Ballets, dance performances, Forums, workshops and parties with top Djs / Mcs. Each edition bringing together more than 100,000 fun and peace loving visitors.

 AfrikAktiv invites you to come and visit the International African festival in Germany powered by the African Diaspora and dedicated to the development of its continent and people. Come and have full service funtime. As a family oriented Festival, children and youths are the heartbeat for our festival, we cherish every one of them.
Our festival offers a special integrated children and youth mini format festival with activities for our young people – special artist with workshops –Acrobatics, clowning, graffitis, dance, creative handworks, special concert just for the young generation under the theme “Empowering the next generation with cultural diversity and humanity values“ For a more visibility on opportunities and potentials available on the African continent and its Diaspora, our festival offers a platform for partnership to all pan-african media and journalist. 
Our festival reaches out to more than million people worldwide particularly on the African continent, here you meet your tailored made target groups. Join and follow us on social media – Facebook, Instagrams, Twitter, youtube..The International African Festival Tübingen, Germany offers opens you the door to enjoy Africa´s authentic Arts and listen to African tell their story the way it is.For more information: Web: www.afrikafestival.net'

USAJILI WA "KARATE CLUB OF JUNDOKAN SO HONBU SYSTEM TANZANIA" NI NEHEMA

Sensei Rumadha Fundi, wakiwa na Sensei Pedro Cardeira toka Lisbon, Ureno wakifanya zoezi la mbinu ya kuvunja mkono


Habari za uhakika zimetufikia kuwa chama cha Karate club of Jundokan So Honbu System Tanzania kimepata usajili.Tanzania itasonga mbele na kushika nafasi za kimataifa baada ya usajili huo kwani Mkufunzi mkuu au Chief instructor wa chama hicho anayetambuliwa kimataifa na baraza la dunia la karate la dunia lenye makao yake Okinawa Japan Sensei Rumadha Fundi, mwenye uzoefu wa vyama vitatu vya Goju Ryu tofauti, pia, alithibitisha hayo baada ya kupata msaada  mkubwa chini ya watu walio karibu sana nae ambao pia imekuwa ni nguvu kubwa inayo mpa moyo wa kuwa na mfumo huo asilia toka visiwa vya Okinawa, Japan.
Jundokan So Honbu, ni mfumo unaofundisha mtindo wa Okinawa Goju Ryu katika utamaduni na utaratibu uliyowekwa na Master Chojun Miyagi na kusambazwa na mwanafunzi wake ambaye ni mwanzilishi wa JUNDOKAN, Master Eiichi Miyazato 1957, huko wilaya ya Asato,mji wa Nana, katika kisiwa cha Okinawa, Japan.

Maana ya Jundokan " Sehemu ya mafundisho us mwanzilishi"JUN +DO+ KAN, "jun"ni imekuchuliwa toka jina la mwanzilishi wa Goju Ryu, Chojun  na "Do" ikimaanisha mwenendo, " Kan" ikimaanisha shule au mafunzo.
Hivyo ndivyo hasa lengo kuu la mfumo huu asilia usio badilishwa au kugeuzwa jinsi unavyofundishwa tokea ulipo undwa na Master Miyagi.
Mipango ipo njiani kuwa na tawi lenye lengo na nia kufuata sheria na kanuni za mfumo asilia tu, bila kubadilisha mbinu na "Kata" kama jinsi inavyo bainika na mbinu za " Sports Karate" hasa uchezaji wa "kata" kiujumla.
 
Hivi karibuni, huko visiwani Okinawa katika makao makuu ya tawi hilo, jumuiya ya sanaa ya mapambano " Okinawan BUDOKAN & Karate Federation", imeitambua "Jundokan So Honbu" kama moja ya mitindo asili"Original" kutoka Okinawa inayozingatia maadili na mafunzo yaliyo achwa na mua sisi wa mtindo wa Okinawa Goju Ryu.
Pindi mnamo miezi ijayo, tutatoa taarifa ya ufunguzi rasmi wa shule ya karate na uteuzi wa wanafunzi wa kuu wasaidizi ambao Sensei Rumadha atajitoa muhanga kuwasaidia kimbinu na ubora wa umahili wa mtindo huu na kuhakikisha mnamo muda wa miaka michache wanapata fursa ya kuwa walimu ( sensei) na kusambaza JUNDOKAN SO HONBU Tanzania yote.
"Msingi tunao mzuri na imara kwa wengi wataojumuika nami kuendeleza hii sanaa hapa nyumbani Tanzania", alisema Sensei Rumadha mwenye uzoefu wa mafunzo hayo ya karate zaidi ya miaka 37 chini ya " ma-sensei" wakuu toka pande zote za  dunia, hasa toka Okinawa, Japan,Alimalizia hayo.
 
 Na Zainab Ally Hamis (DSJ)

Thursday, June 9, 2016

XXL AFRO SUMMER JAM, 30TH JULY

COME AND JOIN US TO FEEL THE SPIRIT & RHYTHM OF AFRICA!!!
Save the date:
30. July 2016 - Kultur Arena, Stuttgart
### XXL AFRO SUMMER JAM, 1st EDITION ###
with an incredible concept that is going to turn the crowd on:
# The Ngoma Africa Band live on stage
# Top DJ's from BigFM & Afro Moves
# Dance show performances
# Fantastic arena
# And many more....
ALL YOU CAN GET FOR ONE EVENING.
Get your ticket now!
(xxlafrosummerjam@gmx.de // +49(0)157-32161521)
https://www.facebook.com/events/1536043496703545/?ti=icl

Wednesday, June 1, 2016

MISS CHANG'OMBE 2016 INATAMBULISHWA KESHO 'MPOAFRIKA' - DAVIS CORNER

KAMPUNI ya SG Entertaiment imewataka warembo kutoka kata zote zilizopo chini ya chang'ombe wenye sifa na vigezo stahiki kujitokeza bila kuogopa  kuchukua fomu za kushindani wa Miss Chang'ombe.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mashindano hayo Adam Hussein,  alisema uzinduzi wa uchukuaji fomu hizo zitaanza kuchukuliwa kesho kutwa  saa 2:00 asubhi na kutarajiwa kuisha Juni 5 mwaka huu eneo la CDS Park (TCC Club) Chang'ombe, Mpo Afrika Davis Kona na duka la nguo la Chilu Latest Wear.

Mratibu wa Mashindano ya Shindano la Miss Chang'ombe, Adam Hussein, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusiana na kutaka Kuzinduliwa kwa Mashindano ya Urembo Miss Chang’ombe Juni 2 Mwaka huu. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano katika Shindano hilo, Victor Mkumbo
"Miss chang'ombe rasmi itazinduliwa,kesho katika ukumbi wa Mpo Afrika uliopo Davis Corner Tandika, hivyo tunaomba mtupe ushirikiano kuja kushiriki ili kuweza kukuza tasnia hii ya urembo" alisema Hussein.


Mkuu wa kutengo cha habari kutoka kampuni hiyo Victor Mkumbo, alisema vigezo vinavyotakiwa kwa washiriki hao ni kuwa na cheti cha kuzaliwa au kadi ya kupigia kura, kitambulisho cha taifa ili kuweza kuepusha udanganyifu unaojitokeza mara kwa mara.
"Baadhi ya washiriki watakao shiriki ni Neema Ogote(20), sitizuhura Husein (20), Hadija Salumu(18), Anitha Mugisha (19), Dorothea Shayo (20), Anba Mtua(20), Rehema Mongi (21), na Esther  Mnahi(22), kutoka Wilayani Temeke" alisema.

Alisema fainali ya mashindano hayo yatafanyika Julai 21 mwaka huu katika viwanja vya CDS Park, ambavyo zamani vilijuwa vikitwa TCC Club Chang'ombe jijini Dar es Salaam.

Uzinduzi huo utasindikizwa na wasanii kibao akiwepo MSAGA SUMU, CHEMICAL, GALATONE na wasanii wengine Kibao huku mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Diwani wa Kata ya Tandika 

NGOMA AFRIKA BAND YATAJWA KUWA BENDI IMARA BARANI ULAYA


Ngoma Africa band imetajwa ni bendi hiliyovuka dhoruba na kushika chati ulaya kianzo kimoja maarufu cha habari barani ulaya AFRONEWS kimeitaja
bendi hiyo kuwa imejijengea ngome imara na kuwashika washabiki wa
kimataifa kisawa sawa soma zaidi bofya link chini

How Ngoma Africa Band has survived the storm to become one of the most sought-after African bands in Germany http://www.afronews.de/entertainment/ngoma-africa-band-survived-storm-become-one-sought-african-bands-germany/