Wednesday, May 15, 2013

Happy BirthDay Dj D WHITE!

 Leo ni Birthday ya Mnyamwezi Dj D WHITE, Dj wa kitambo Club Bilicanas ambaye sasahivi anapiga muziki ktk kituo cha Radio One.............
Ktk Picha akiwa na Dj Mackay pamoja na Millard Ayo siku za nyuma kidogo

Pamoja na DWhite MAKAVU Blog inawatakia Kheri ktk Siku yenu muhimu ya kuzaliwa, wadau wote mliozaliwa siku kama ya Leo. 15-5

Tuzo za BET 2013 kufanyika June 30, Radio & Weasel kuiwakirisha EastAfrica!

Best International Act: Africa
2Face Idibia (Nigeria)
Toya Delazy (South Africa)
Donald (South Africa)
Ice Prince (Nigeria)
R2Bees (Ghana)
Radio and Weasel (Uganda)
Best Female R&B/Pop Artist
Beyoncé
Tamar Braxton
Alicia Keys
Rihanna
Elle Varner
Best Male R&B/Pop Artist
Chris Brown
Bruno Mars
Miguel
Justin Timberlake
Usher
Best Group
Macklemore & Ryan Lewis
Mary Mary
Mindless Behavior
Slaughterhouse
The Throne (Kanye West & Jay-Z)
Best Collaboration
2 Chainz f/ Drake – No Lie
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar – "Problems"
French Montana f/ Rick Ross, Drake and Lil Wayne – "Pop That"
Kendrick Lamar f/ Drake – "Poetic Justice"
Justin Timberlake f/ Jay-Z – "Suit & Tie"
Kanye West f/ Big Sean, Pusha T and 2 Chainz – "Mercy"
Best Male Hip Hop Artist
2 Chainz
A$AP Rocky
Drake
Future
Kendrick Lamar
Best Female Hip Hop Artist
Azealia Banks
Eve
Nicki Minaj
Rasheeda
Rye Rye

DR. DRE na Jimmy Wachangia zaidi ya Tshs. Bilioni 110 ktk Elimu!

Recession? What recession? Later today, Dr. Dre and business partner Jimmy Iovine will to donate $70 million to the University of Southern California. The endowment will be used to create the Jimmy Iovine and Andre Young Academy for Arts, Technology and the Business of Innovation. Set to launch in Fall 2014, the four year program will offer undergrads courses in entrepreneurship; technology, art, design and marketing.

 In a statement, USC President C.L. Max Nikias says:
 “The vision and generosity of Jimmy Iovine and Andre Young will profoundly influence the way all of us perceive and experience artistic media. Our goal is to ensure that the academy is the most collaborative educational program in the world.”

New Sound; Nahitaji DEMU - OPG ft. Mirror

I intorduce new track called Nahitaji Demu from OPG MAJINGX ft MIRROR


Msanii Chipukizi "IDEA"

Msanii Chipukizi "Idea" toka kaskazini mwa Tanzania anakuja na wimbo wake wa "Kitambi show tu" Download HAPA na wasiliana naye kwa +255 755 673 156
--------------------------------
http://www.hulkshare.com/4kx30zge6cao

G-HOOD

Anaitwa G-Hood toka Arusha,Newcomer aliyeanza harakati za kurekodi mwaka huu, na zaidi ni rapper anayefanya zaidi muziki wa crunk na pia Trap..Ngoma yake amefanya pande za Noizmekah studios akimshirikisha defxtro katika chorus ya wimbo huu wa "Naendelea Kutafuta" Download HAPA na endelea kusupport muziki wa Tanzania kwa mahojiano zaidi na mwasiliano check na G-hood kupitia +255 759 903 824
http://www.hulkshare.com/x6ez7tlbnthc

Wednesday, May 8, 2013

Redds MISS NYAMAGANA 2013, Jumamosi hii @JB

















New Sound; MpenziZita - BAMZIGI

We are at it again, I have attached the 3 piece to the track incase you are a Dj. If not click the link below and listen or just download the track straight to your phone or computer. Feel free to search for more Bamzigi songs on the site below.
Cheers.

#3050Muzik presents,
" Mpenzirita " by Bamzigi produced by Wawesh Mjanja 
Of the up coming ' Shades AV Mizuka " album,
Made in kenya 2013
#Mizuka ~ Electronic/Hip hop/ R&B /Afrobeats / Dancehall ** Fusion

ClICK HERE:https://soundcloud.com/bamzigi/mpenzirita-bamzigi-produced-by

Bamzigi on Twitter : https://twitter.com/Bamzigi
Bamzigi on FaceBook : https://www.facebook.com/pages/Bamzigi/141072325903962?fref=ts
Bamzigi on Google + : https://plus.google.com/u/0/114621529848788551316/posts?tab=XX
Bamzigi on Reverbnation : http://www.reverbnation.com/bamzigi?profile_view_source=header_icon_nav
Bamzigi on SoundCloud : https://soundcloud.com/bamzigi






Bongo Project X Party


This saturdays' 11th May 2013, is fullbata.com's official first party of
the year the 'Bongo Project X Party' you are all welcome

JULIO aachia Track mpya kwa ajili ya BigBrother 2013




Timewreckordz na NK production kutoka nchini Tanzania ndo maproducer wa  mwimbo wa Mshiriki waTanzania kwenye shindano la BigbrotherAfrica,show inayoonyeshwa nchi 54 barani Africa,
Mshiriki huyo Julio sasa amerudi kwenye fani aliyobobea ya Mziki na ameshafanya kazi na wasanii kibao wa bongo kama Chege chigunda,Matonya,kassim mganga,Countryboy,Chiddy benz, ukeme,Bskillz,Lamar,Lucci da don,Jokate,ROBZ..Cezeline na wasanii wa nje na pia washiriki wa Bigbrother mwaka jana...seydou soumare (Angola) Eazzy first  lady(Ghana) kwenye studio tofauti nchini na album inatoka july baada ya mafanikio ya mwimbo huu wa bigbrother


Madhumuni ya kutoa single hii ni kuwakilisha Tanzania na muziki wetu Africa na Dunia,Na pia nchi zenye kupendelea kuangalia Bigbrother ambao wafuatiliaji wa kipindi hicho cha miezi mitatu  wako zaidi ya million 20,Huu ndo muda nchi yetu itasikika kirahisi kimziki kwa nchi 54 Africa kwasababu ya nyimbo kuwa kali na vigezo vyote na kwamba inahusiana na hiyo show....Nyimbo inaitwa MR BIGBROTHER na inaoongelea bigbrother kama show,nchizi zinazoshiriki,Msiba tuliopata mwaka jana heshima kutoka kwa watanzania baada ya kumpoteza mshiriki mkubwa mwaka jana Goldie.


Huu ndio mwimbo wetu kwa mara ya kwanza katika historia ya bigbrother msanii kutoka nchini kutoa mwimbo kwa ajili ya Bigbrother Africa na support ya watanzania itatufanya kufikisha mziki wetu nje ya Tanzania na Africa. Bigbrother mwaka huu inaanza baada ya wiki mbili 26/may/2013 .Tujivunie cha kwetu na kupeperusha bendera yetu Africa.

Saturday, May 4, 2013

New Sound; JUAKALI - Keneh!

Msanii wa Reggae/Afropop Keneh, mkazi wa Arusha aja na Juakali,Ngoma ya mahadhi ya Sweet Reggae inayozungumzia Ungumu wa maisha ya ujana na umuhimu wa kuzingatia ushauri wa waliotuzidi umri na upeo,Ni ngoma yenye verse mbili na breakdown zikiambatana na chorus tamu ikiwa ni kazi ya defxtro toka Noizmekah Studios Arusha.Pata kuusikiliza HAPA and keep supporting african music..Powered by www.vmgafrica.com
------------------
http://www.hulkshare.com/xigr87mpby0w

New Sound; SALUTE YOU - Kichomi DAX

Toka kundi la Northdwellers lenye maskani yake Arusha Makao Mapya aka Magoroo mpaka ndani ya studio za Noizmekah Productions kwa Defxtro,anakuja Kichomi Dax, na ngoma ya "Salute U" Hiphop joint special kwa wanadada mashabiki wa Hiphop na Real G Lifestyle, pata kuusikiliza HAPA na endelea kusupport muziki wa Hiphop Africa,Kwa mawasiliano ya mahojiano na Kichomi Dax wasiliana kwa simu nambari +255 767 211 991...Powered by www,vmgafrica.com
-----------------------------
http://www.hulkshare.com/cz8tcxxmiolc

Thursday, April 25, 2013

NOMINEES KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2013

 
 
Majina ya wasanii, waandaaji muziki na vikundi kwa ajili ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013


WIMBO BORA WA MWAKA

Dear God - Kala Jeremiah
Leka dutigite - Kigoma all star
Mapito - Mwasiti Feat Ally Nipishe
Me n U - Ommy Dimpoz Feat Vanessa Mdee
Pete- Ben pol

MSANII BORA WA KIUME
Ben Pol
Diamond
Linex
Mzee Yusuf
Ommy Dimpoz

MSANII BORA WA KIKE
Isha Mashauzi
Khadija Kopa
Lady Jaydee
Mwasiti
Recho

MSANII BORA WA KIKE - TAARAB
Isha Mashauzi
Khadija Kopa
Khadija Yusuph
Leila Rashid

MSANII BORA WA KIUME - TAARAB
Ahmed Mgeni
Hashim Said
Mzee Yusuf

MSANII BORA WA KIUME - BONGO FLAVA

Ally Kiba
Ben Pol
Diamond
Linex
Ommy Dimpoz

MSANII BORA WA KIKE - BONGO FLAVA
Linah
Mwasiti
Recho
Shaa

MSANII BORA WA HIP HOP

Fid Q
Joh Makini
Kala Jeremiah
Profesa J
Stamina
 

Msanii Bora wa Kiume - Bendi
Chalz Baba
Dogo Rama
Greyson Semsekwa
Jose Mara
Khaleed Chokoraa

Msanii Bora wa Kike - Bendi

Anneth Kushaba
Luiza Mbutu
Mary Lucos
Vumilia

Msanii Bora anayechipukia

Ali Nipishe
Angel
Bonge la Nyau
Mirror
Vanessa Mdee

Wednesday, April 24, 2013

New Sound: BORN TOWN - Rapper DYNO (Dunia)


Video; Jambo Squad - Mamong'ooo



Video ya "Tukunyema" ikiwa mbioni kumalizika editing, pata kutazama watoto wa bibi aka Jambo Squad ndani ya reshoot ya  "Mamong'oo" na kampuni ya Hoodpixx ikishirikiana na VMG Africa

"NIMEAMBUKIZA MAELFU YA WATU JIJINI DAR" - JANE wa MWENGE

Mimi ni Jane naishi mwenge Dar es salaam naomba utalifuta jina la baba yangu maana sitaki liwe kwenye blog watu watanijua na kuniangamiza maana nimeshawaangamiza wengi sana kwa UKIMWI ila mengine yote usifute hata moja ili dunia ijue tu japokua mimi nitakufa kwa huu ukimwi nilionao.

Nilizaliwa mkoa wa Dodoma na nilishi vizuri tu tangu utotoni na hata sikujihusisha na ngono hadi nilipomaliza form 4 mwaka 2006 baada ya kumaliza nilikuja hapa Dar kuishi kwa mama mdogo aliyeolewa hapa Mwenge.

Nilipata marafiki wengi tu na kuna kijana mmoja alinitongoza kwa muda mrefu sana na siunajua vijana wengi hutumia muda mrefu kutongoza ili msichana unadhani kwamba labda huyo anakupenda kumbe anataka tu ngono na wadada wengi sana hudhani kufuatiliwa kwa muda mrefu na mvulana basi huyo yuko serious kumbe hakuna lolote.

Nilimkubalia tukawa wapenzi ila nilikataa kuhusu kufanya mapenzi maana anayekupenda kiukweli sio uongo lazima asitake ngono kabla ya ndoa.

Kwa miezi kama 5 hadi 6 aliniambia kuhusu kufanya mapenzi nilikataa alitumia mbinu nyingi sana kwa kunibembeleza na hata kulia mbele yangu ili tufanye tu mara moja ila nilikataa, alisema atavumilia hadi siku ya ndoa yetu ambapo tulipanga kuoana mwaka sept 2009.

Siku moja aliniambia twende kwenye kumbi za starehe na mimi kwa sababu ya upagani na kumwamini pia kwa sababu nampenda nilikubali tulienda huko na kulikua na bendi fulani maarufu ya mziki wa dansi ilikua inatumbuiza.

Tulitafuta sehemu na kukaa na mpenzi wangu akaagiza pombe alianza kunywa huku akinionjesha, nilikataa kwa sababu nilikua sijawahi kunywa pombe katika maisha yangu yote, hata sijui alinishawishi vipi nilijikuta nakunywa kidogo kidogo na kwa kuwa tulikaa pale kwa muda zaidi ya masaa 5 nadhani nikunywa kama bia 3 au 4 japokua nilikua nakunywa kidogo kidogo tu tena kwa kunywesha na mpenzi wangu maana nikama nikua nanyweshwa kila baada kama ya dakika 25 ndipo nakunywa mara moja na sikujuia kama nakunywa pombe ila niliihisi tu naonja ili kumlizisha mpenzi wangu.

Ilipofika saa 10 alfajiri nilihisi usingizi na pia nilijiona wa tofauti najua nililewa hata kama sikujua kama nimelewa maana nakumbuka tulitoka pale huku amenishika mkono huyo mpenzi wangu. Tulikodo tax na kuondoka na siku hiyo aliniambia twende kwake alikokua amepanga chumba maana tulikua na usingizi sana nilikubali huku nikidhani hatuwezi kufanya mapenzi.

Tulifika salama na kuingia ndani ukweli pombe ni kichocheo cha ngono na ningekua mimi ndio Raisi wa Tanzania ningefunga bar zote. Nilijikuta natamani kufanya mapenzi na huyu mpenzi wangu hata alikua hana nia maana alijua atanichukiza sana na uhusiano ungekufa siku hiyo lakini kwa sababu ya pombe nilimwambia siku hiyo tufanye kidogo maana mwili wangu unataka.

Ni kweli siku hiyo kwa sababu ya pombe nilifanya mapenzi na huyo mpenzi wangu na baadae akanipeleka nyumbani baada ya wiki mbili maana tulikaa wiki mbili bila kuonana alikuja na kunieleza habari ambayo sikuihitaji katika maisha yangu maana nilikua nasikia tu kwa watu wengine lakini sio kwangu alisema ”JANE ISHI KWA MATUMAINI KUANZIA SASA”

Monday, April 22, 2013

New Sound: MOLA NISAMEHE - OMMY G ft. Salu B


JamboSquad Video making, TUKUNYEMA!



Picha kadhaa za kundi la JamboSquad aka Mamong'oo wakishoot VideoShoot ya wimbo wa "Tukunyema" na kampuni ya HPVMG Maeneo ya Ungalimited Arusha, kucheki Picha zote katika Facebook Bofya HAPA ukiendelea kusibiri mzigo kamili wiki ijayo.Kwa hisani ya vmgafrica.com

New Sound; NIKIMWELEZA - SALU B

 
  Vesre 1.
Mara ya kwanza nilipokuona moyo ulistuka,nikajikuta naropoka maneno yananitoka ah aa!, mara ya kwanza nilipokuona moyo ulistuuka, e nikajikuta naropoka maneno yananitokaa macho yangu yamemuona wewe, hisia zangu ni wewe, akili yangu inakuwaza wewe wee e we!.. 
brige:
nachotaka awe wangu wangu, wangu peke yangu, mama wa wanangu \2
choras:
nikimweleza sijui kama atakubali..hata kubali..
Nikimweleza sijui kama hatakubali ..hata kubali \2 
vesre 2:
Najaribu kumuimbia huu wimbo.. huyu mrembo
labda atausikia huyu mrembo \2
nitashukuru akiusikia jibu zuri akinipatia.. ntashukuru akiusikia.\2
Brige:
Nachotaka awe wangu, wangu peke yangu... mama wa wanangu \2

chorus:
nikimweza sijui kama hata kubali.. hata kubali
nikimweleza sijui kama hata kubali.. hata kubali

Autro:
ananichanganya changanya changanya changanya e.. vuluga vuluga vuluga vuluga oh o! kwa uzuri wake \2
Ananichanganya ooh! ananivuruga ananikwa uzuri wake
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...