Wednesday, June 1, 2016

NGOMA AFRIKA BAND YATAJWA KUWA BENDI IMARA BARANI ULAYA


Ngoma Africa band imetajwa ni bendi hiliyovuka dhoruba na kushika chati ulaya kianzo kimoja maarufu cha habari barani ulaya AFRONEWS kimeitaja
bendi hiyo kuwa imejijengea ngome imara na kuwashika washabiki wa
kimataifa kisawa sawa soma zaidi bofya link chini

How Ngoma Africa Band has survived the storm to become one of the most sought-after African bands in Germany http://www.afronews.de/entertainment/ngoma-africa-band-survived-storm-become-one-sought-african-bands-germany/

No comments:

Post a Comment