Wao wanasema adhabu hiyo ni kubwa sana kulinganisha na ile ya sasa ya miaka 2 jela au faini ya shs. 30,000 hadi 300,000 ukizingatia kuwa ajali ni bahati mbaya wao pia hawapendagi zitokee!!!
Hata hivyo baada ya masaa kadhaa hivi safari zilianza kwa kuchelewa sana zikiacha baadhi ya abiria kutojua cha kufanya.
No comments:
Post a Comment