Mtoto huyo aliweka histori pale juzi baada ya kuwa malkia wa kwanza wa watoto ktk mashindano hayo ambayo hayajawahi kufanyika hapa bongo. Mratibu wa shindano hilo alisema lengo ni kukuza na kuendeleza sanaa kuanzia ngazi za chini, pia mashindano hayo yataendelea ktk wilaya zingine ilala na kino na washindi watano watawakirisha kumtafuta mtoto mrembo wa jiji la dar!!
Monday, August 10, 2009
Mtoto Fatuma atwaa taji la 1 la Miss Totoz Bongo!!
Mtoto huyo aliweka histori pale juzi baada ya kuwa malkia wa kwanza wa watoto ktk mashindano hayo ambayo hayajawahi kufanyika hapa bongo. Mratibu wa shindano hilo alisema lengo ni kukuza na kuendeleza sanaa kuanzia ngazi za chini, pia mashindano hayo yataendelea ktk wilaya zingine ilala na kino na washindi watano watawakirisha kumtafuta mtoto mrembo wa jiji la dar!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Huku ndiko pa kuibua na kukuza vipaji vya kweli..!
ReplyDelete'Msukumo zaidi unahitajika..!