
Watuhumiwa hao walikamatwa hivi karibuni katika operesheni ya kusaka kanda bandia iliyofanyika katika maeneo ya Kariakoo, Buguruni na Tabata jijini Dar es Salaam, ambao ni Ayaj Amash Chavda, Abass Adam Salehe, Kamugisha Shop, Ana Maria, Moses Msigwa, Kihiyo Athumani, James Mbelwa na Loveness Masonda, walikamtwa na VCD, DVD, VHS na vifaa vya kufyatulia kanda hizo vikiwa na jumla ya thamani ya sh.191,200,000.
" Tunajua matatizo haya kumalizika haraka ni vigumu kutokana na watu hao kuwa na mtandao mkubwa, lakini COSOTA tutahakikisha tunachuana nao na kukomesha kabisa," alisema Afisa Mtendaji Mkuu wa (COSOTA), Lustus Mkinga.
No comments:
Post a Comment