Kisura Lukando Nalungwe awa Mzambia wa kwanza kushinda tuzo ya M-Net Face of Africa baada ya kuwafunika wenzake 9 akiwemo Lilian Mduda aliyetuwakirisha Tanzania ktk mashindano hayo yaliyofanyika huko Eko Hotel nchini Nigeria.
Mwakilishi wa Tanzania ktk Mnet Face of Africa 2010 Lilian Mdunda
No comments:
Post a Comment