Miss Kinondoni 2010 Alice Lushiku akiwa katika picha ya pamoja na warembo wenzake baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Miss Konondoni lililomalizika Dar es salaam jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, kulia ni mshindi wa pili Amisu Malick na mshindi wa tatu ni Irene Hezron na wa nne Edna Kwisasa na tano Carolene Mbembo
Miss Kinondoni 2010 Alice Lushiku akiwa katika picha ya pamoja na warembo wenzake baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Miss Konondoni lililomalizika Dar es salaam jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, kulia ni mshindi wa pili Amisu Malick na mshindi wa tatu ni Irene Hezron na wa nne Edna Kwisasa na tano Carolene Mbembo
Caroline Mbembo akijibu swali wakiti wa onesho hilo ata hivyo alichemka kujibu baada ya kutaja mbuga ya Serengeti ni Mlima mkubwa alichemka vibayaa sanaaa
mrembo mwenye kipaji cha kucheza akicheza
Carolene Mbembo mrembo mwenye kipaji cha kuimba
kamati ya miss Ilala wakiwa na warembo wa Ilala wakiwasoma wenzao
wadau wa urembo na habari walikuwepo Selemani Mbuguni 'papaa' na Khadija khalili
wanenguaji wa bendi ya twanga pepeta wakiwajibika jukwaani
Suzan Chubwa Queen Suzi akifanya vitu vyake wakati wa kumtafuta Miss Kinondoni
No comments:
Post a Comment