Saturday, July 3, 2010

Miss Kinondoni 2010 apatikana..!


Miss Kinondoni 2010 Alice Lushiku akiwa katika picha ya pamoja na warembo wenzake baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Miss Konondoni lililomalizika Dar es salaam jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, kulia ni mshindi wa pili Amisu Malick na mshindi wa tatu ni Irene Hezron na wa nne Edna Kwisasa na tano Carolene Mbembo

Miss Kinondoni 2010 Alice Lushiku akiwa katika picha ya pamoja na warembo wenzake baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Miss Konondoni lililomalizika Dar es salaam jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, kulia ni mshindi wa pili Amisu Malick na mshindi wa tatu ni Irene Hezron na wa nne Edna Kwisasa na tano Carolene Mbembo
Alice Lushiku akijibu swali
Irene Helron akijibu swali
Edna Kwisasa akijibu swali

Caroline Mbembo akijibu swali wakiti wa onesho hilo ata hivyo alichemka kujibu baada ya kutaja mbuga ya Serengeti ni Mlima mkubwa alichemka vibayaa sanaaa

5 bora


mrembo mwenye kipaji cha kucheza akicheza



Carolene Mbembo mrembo mwenye kipaji cha kuimba

ISSA MNALI AKIWA KAZINI


kamati ya miss Ilala wakiwa na warembo wa Ilala wakiwasoma wenzao


wadau wa urembo na habari walikuwepo Selemani Mbuguni 'papaa' na Khadija khalili


wanenguaji wa bendi ya twanga pepeta wakiwajibika jukwaani

Suzan Chubwa Queen Suzi akifanya vitu vyake wakati wa kumtafuta Miss Kinondoni

No comments:

Post a Comment