![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgNQhujgc09LnZslqpkBR6gTyT6M6KHSOD93txgg-iTpHRujgtG9RKVFBlCMrh8I2IvCjhPJxFQuwg87DOiQHqUxdLWVg6dSU6EByClzJa9aU8QPPa5RrROtxgJoDNWVu5XeKOHjkAMLLo/s320/1268996_FULL-LND.jpg)
Utabiri wa Pweza aliyepewa jina la Paul wa Ujerumani "Octopus oracle" umewaumiza ma-fanz wengi wa Ujerumani ktk michuano ya Kombe la Dunia huku pweza huyo akiendelea kujiwekea rekodi za ukweli baada ya kutabiri kuwa Germans watapigwa na Spain usiku wa jana.
Tayari alishatabiri matukio ya mechi 6 za ujerumani, huku wengi wakimchukia pweza wao kiasi cha kutaka kumkaanga na kumfanya supu......
No comments:
Post a Comment