
Show ilianzia Ijumaa pale Da'West ambapo AY, Amani na Ngoni walisababisha

kwenye mashine alikuwepo Dj Manywele moja kati ya maDjs wakali sana hapa bongo

Ngoni ndani ya Da'West Tabata
JUMAMOSI SHOW ILIHAMIA PALE MBALAMWEZI BEACH
hapa wanadafada wakishinda kukata ile ngoma ya ALADJI..... aladji ....aladji..'
'aladji...aladji...'
wadau wakishow luv ndani ya mbalamwezi na zantel
peace n luv

kocha wa yanga Papic nae alikuwepo ktk burudan hio

Amani akilishambulia jukwaa mbalamwezi beach

show ilihitimishwa na mzee wa commercial AY
No comments:
Post a Comment