Friday, October 15, 2010

Song TWENDE NA MIMI – by DULLAYO. Lyrics


Verse I:

Eeh eeh eeh eeh

Naimani nikiwa peke yangu ntadata sitosikia raha

Naimani nikiwa na wangu burudani baby gal

Naimani nikiwa peke yangu ntadata sitosikia raha

Naimani nikiwa na wangu burudani baby gal

Bora niseme ya moyoni beibeeee

Minataka tukaparty niende na weweeee

Bora niseme ya moyoni beibeeee

Minataka tukaparty niende na weweeee

Twende we mchumba twende tukacheze ngoma oooh!

Kama mavumba yapo ila usilewe sana oooh!

Twende we mchumba twende tukacheze ngoma oooh!

Kama mavumba yapo ila usilewe sana oooh!

Chorus

Navyompenda kumwacha sidhani…. sidhani mimi

Nimpe vyote vilivyo duniani…. Duniani nami

Nimchukue twende nyumbani… twende na mimi

Verse II

Fanya utoke my baby gari iko nje (mmama)

Fanya uondoke muda umekwenda sanaa

Mwenzako nshalewa ukichelewa itakuwa balaa

Ntazidi kunogewa mwisho wa siku mimi ntazima

Nimeshalewa ukichelewa itakuwa balaa

Ntazidi kunogewa mwisho wa siku mimi ntazima

Twende we mchumba twende tukalicheze goma

Kama mavumba yapo ila usilewe sana

Twende we mchumba twende tukalicheze goma

Kama mavumba yapo ila usilewe sana

Mwenzako mi nshalewa ukichelewa nib ala

Ntazidi kunogewa mwisho wa siku ntazima

Ntanogewa mwisho wa siku ntalewa!

Chorus

Navyompenda kumwacha sidhani…. sidhani mimi

Nimpe vyote vilivyo duniani…. Duniani nami

Nimchukue twende nyumbani… twende na mimi

Outro

Ooooh ooooh ooooh ooooh!X2

Twende baby baby baby!

Hey hey jho jho

Tanzania

D-Timing Eih yo Kisaka

Ndio dawa yao mzaz

Emotion records right here

Safi sana Makavulive

Eih yo G

Dullaaaaaaaaaaaaaayo!

No comments:

Post a Comment