akisindikizwa na SUPER DJ's wanaopiga ngoma kali na BONGO Flava TOP "10"
bila kusahau Uzinduzi wa Video za Bongo Flava
kwa Kiingilio cha Tshs. 5000/= tu!
Dullayo kwa sasa anatamba na ngoma zake za Twende na mimi pamoja na SuperStar aliyomshirikisha D-Knob, pia hivi karibuni ametoka kuachia video yake kali ya Twende na mimi!
Usikose hii show!
No comments:
Post a Comment