wamepitia mengi magumu na mazito na kwa support ya Fans na discipline ya wanamuziki wenyewe wamefikia hapo....
Hongera sana kwa Uongozi wa Machozi Band kwa ukubwa mliouonyesha na heshima pia kwa wapenzi wa burudani hio kupata Tuzo.
Pichani juu Ni Mwinyi Goha, akikabidhiwa tuzo ya Mwanamuziki anejipenda na mwenye muonekano Safi, kuanzia mavazi n.k kwa kipindi chote ambacho yupo kazini.
Huyu anapiga Bass Guitar, Tangu MACHOZI inaanza mpaka leo yupo
Huyu si mwenye Tuzo, ni mke wa mwenye Tuzo hiyo inayoonekana pichani juu
Mfanyakazi bora wa MACHOZI BAND anaitwa DUDU
Pamoja na kuwa tunaimba watu wanakuja, lakini kuna watu huwa wanakuja kila siku, lije jua ije mvua na tumetambua mchango wao.
Tangu Chozi linaanza JJ Blue mpaka linapata makazi yake Nyumbani,
mdau yupo tu
BLOG HII INAWAPONGEZA WASHINDI WOTE WA TUZO HIZO NA KUWATAKIA KILA LA KHERI KTK KUENDELEZA BENDI YA MACHOZI
zaidi tembelea www.ladyjaydee.blogspot.com
BLOG HII INAWAPONGEZA WASHINDI WOTE WA TUZO HIZO NA KUWATAKIA KILA LA KHERI KTK KUENDELEZA BENDI YA MACHOZI
zaidi tembelea www.ladyjaydee.blogspot.com
No comments:
Post a Comment