
Waasi wa Libya na wanajeshi kutoka mataifa mengine mbali na Afrika jana wamemuuwa Gaddaf ktk mji wake huko nchini Libya na kuacha majonzi makubwa kwa raia wa Afrika nzima isipokuwa nchini kwake watu walionekana wakishangilia kupinduliwa na kuuawa kwa kiongozi huyo.
No comments:
Post a Comment