Friday, October 21, 2011

Afrika tumempoteza Kiongozi SHUPAVU... R.I.P Gaddafi!

Marehemu Kanali Muammar Gaddaf kulia enzi za uhai wake akiwa na kiongozi mwingine shupavu Afrika

Waasi wa Libya na wanajeshi kutoka mataifa mengine mbali na Afrika jana wamemuuwa Gaddaf ktk mji wake huko nchini Libya na kuacha majonzi makubwa kwa raia wa Afrika nzima isipokuwa nchini kwake watu walionekana wakishangilia kupinduliwa na kuuawa kwa kiongozi huyo.

No comments:

Post a Comment