Thursday, May 3, 2012

Baghdad "Pray G Kweka" ni mwanafamilia wa Freemason!?



Pray god kweka jina la stage.
 Baghdad ni msanii alieeanza muziki ki mazabe sana na kuonekana kupata bahati ya kupewa saport ya ghafla mara baada ya kupewa nafasi ya kuonyesha kipaji chake mwishoni mwa tamashaa la kutoa nafasi kwa vijana wanaochipukia kwenye mziki wa hip to hip hop ambalo lilizuriwa na wasanii wakubwa wa ndani na nje ya nchi kama fid q, langa, Saigon, na wasanii waliotoka nje ya nchi ni gnl zamba, na msanii kutoka nchini nijeria ambae jina lake halikuweza kupatikana na miongoni mwa waandishi habari walioweza kuwepo kwenye tamasha hilo ni pamoja na fatma hasan, a.k.a fetty, ruben ndege a.k.a ncha kali ambae ni production manager wa clouds fm. 


Na kati ya maproducer wakongwe walionekana kuvutiwa na kipaji chake ni producer mkongwe Ali baucha ambae aliweza kutoa ma mc wengi wakubwaa wa hip hop Tanzania kama Fid q, Rado, Chid benz, na wengine wengi. Ndipo kukutanishwa na Manyeko na kufanya ngoma yake ya kwanza iliyoitwa “hip hop imesimaama” na kuweza kumfanya kuweza kujizolea mashabiki kibao kwa kuwa aliiachia siku moja baada ya kutolewa kwenye shindano la freestyl mc shujaa, ya mwaka 2009  iliyokuwa inaendeshwa na fetty chini ya kipindi cha bongo flava. 


 Na ukuaji wa mziki wake umekuwa wa ajabu ajabu kutokana kuwa mc wa kwanza Tanzania kufanikiwa kuwa na mashabiki wengi, kupiga shows nyingi kubwa, kufanya intaviews nyingi, kupewa promo na radio zote Tanzania bila kumbania ingawa mpaka alipofikia hana na hajawahi kuwa na manager wa aina yoyote na kila sehemu huwa anafanikiwa kufanya kazi bure na kujikuta wale wanaomfanyia kazi ndio kugaramika. 

Mfano baucha aliondoka na ngoma 5 na hakudaiwa hata shilingi 100 licha ya kutokuwa na makubaliano yoyote ya kusighn na studio ya baucha! 
Amefanya ngoma mbili ambazo zimefanya vizuri sana ndani na nje ya nchi full ng’ae ng’ae bila kutoa hata sh 50 kwa producer wa d fatality na hata baadae walipokuja kukorofishana aliweza kuja kufanya ngoma ya ohh mama na climax bibo, na wakati hawakuwa wakiongea na producer aliefanya mix bila malipo, wakati messen alikiri ya kuwa ufanyaji kazi wake umebadilkika kwa sasa pesa mbele kama tai.


 Na kwa sasa anakabiliwa na kesi kubwa ya kutumia chater ya kundi alilokuwa akilitumikia mwanzoni mwa mwaka 2010 kabla ya kujitoa mwanzoni mwaka huu, na chaa ajabu uliwahi kusikia wapi mtu aliyepeleka kesi mahakamani kama mdai alietambulika kwa jina lililopo kwenye file la kesi DiCkison kuomba suluu baada ya kuhairishwa kesi mpaka tar 3 mwezi May.

 Hivyo hali yake ya kuwa anaogopewa na watu wengi kila sector, Inaweza kudhihirisha ya kuwa yeye ni muhusika wa familia ya freemason, kwa kuwa hajawahi kufanya show hata moja asiwe kati ya wasanii watatu bora kwenye show hiyo, na lazima ataonyesha vidole, au ishara yoyote ya ajabu. Baghdad, a.k.a Notorious wa bongo, kwa sasa anatumia jina la P.G Kweka au Mjukuu wa Lusifer.

 

Kuhusiana na mziki

 Video ya “hip hop imesimama” kunapicha ya fuvu, ukicheki "kamba 2kamba" kuna ishara za free mason, ukpitia baadhi ya lyn zake, mfano kwenye hip hop imesimama
     “ marehemu ninaeish kiufupi mi nmzmu
     Tanzania nw brnda  dar n bidhaa hadimu
      sijasomea majungu na wala siujui umbea
     doubt nilipo sasa usiulize nilipotokea”

     kwenyengoma yake ya “ng’aeng’ae” alisema “nawauzunisha waliojipaga kuelekea moton nawa furaisha wenye tv yakuona pepon

 kwenye ooh mama  “yee ni zombie joo mzimu wa marehem huwa hauzirai” 

kwenye kamba 2 kamba aliziirisha dhahili kuwa anatoa kafara kwa kunywa damu zawatu kwa kusema “damu za dadazao zinatolewa kafara ghetto” licha ya ngoma mpya  ambayo ukisikiliza lyn moja baada ya moja  kumuusisha na freemason kwa kukiri kuwa yeye ni Mjukuu wa Lucifer, jina la kiongozi wa free mason! 

Na moja ya line zake anasema ‘was bon freemason na ubongo alipewa na lusifer, been haso kutafuta damu awe satisfy.

 Na ukiisikiliza mwishoni mwa ngoma hii utasikia akisema dissline kwa "Diamond platinum" na huwezi amini kwa msanii mkubwa kama Diamond ambae ukionekana kugusa hata kiatu chako kwa soli yako haoni shida kukufungulia kesi ila imekuwaje kuwa kimya kwa kauli hii kutokuifanyia kazi!

No comments:

Post a Comment