Wednesday, May 16, 2012

BOU NAKO - JEMBE LA KASKAZINI


Mzee mzima D Double anayejulikana vema zaidi kama BouNako a.k.a Jembe la kaskazini anadondosha dudeee brand new kwa fans wote wa hiphop duniani..hii ndio "Jembe la kaskazini"(download hapa),ikiwa ni single inayofata "Mara Hoo" ambayo imefanya vema mtaa na media kwa miez mitatu ilopita, "Game ni gumu tangu enzi za baba zetu likini kukata tamaa sio suluhu wala haisaidii, nakomaa kwa maana mashabiki zangu ndio wananipa nguvu ya kutifua" hii ni zawadi kwenu kwa support yenu kununua T-shirt za J.E.M.B.E na iko wazi mimi sio kitu bila ninyi, skilizieni more tingz zinakuja "walete" pamoja na "acheni"..

No comments:

Post a Comment