Tuesday, May 29, 2012

CMpoo aachia track 2, "Who iz Next" na "Voicemail"

CMpoo,hiphop Mc mwenye makazi yake pande za Ungalimi chugatown,anakuja na pini mbili mpya,"round hii Mc's nawapa Hiphop & Ragga Joint nilzopiga pande za noizmekah.com,track ya voicemail ni mkono wa Moscow na mixing kasmamia Defxtro,na pini la "who ni next" ni ragga riddim nimerecord noiz juu ya beat la kijamaica,Mbali na music napiga artwork mtaa,Graffitti na signwork katika business area mbalimbali kama maduka na mabango,music ni passion yangu japo hailipi bado ila mipango yangu ya hivi karibuni ni kuigiza filamu,Big up kwa fans wangu na wadau wote katika game la hiphop!!!!...

No comments:

Post a Comment