Thursday, January 10, 2013

NOIZMEKAH YA DX YATOA OFA KWA WASANII KUREKODI KWA NUSU BEI

"Noizmekah Production Studios Arusha chini ya Defxtro katika kuendeleza support kwa wasanii wetu Tanzania inatoa OFA ya punguzo la asilimia 50% katika Bei ya Kurekodi muziki kuanzia hii Januari hadi kufikia mwezi Machi 2013.Kwa info zaidi kuhusu kazi za studio yetu tembelea www.noizmekah.com ,kwa maelezo zaidi kuhusu Muda wa Ofisi, Gharama na taratibu nyingine za kazi Contact +255 715 240 005 pia ungana nasi katika mitandao ifuatayo ya kijamii Twitter  @defxtro FaceBook  http://www.facebook.com/pages/Noizmekah-Productions-Arusha/111357362275884 Website  www.noizmekah.com YouTube  http://www.youtube.com/user/hoodpixx?feature=mhee Hulkshare  www.hulkshare.com/noizmekah Stay tuned kwa projects Mpya kali toka kwa Artists Mbalimbali.Peace"

No comments:

Post a Comment