Friday, January 4, 2013

REST IN PEACE SAJUKI.

 
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiweka mchanga kaburini Kuongoza mazishi ya Msanii wa filamu Marehemu SAJUKI
 
 ...mwili ukiswaliwa!
 ...hapa ukirudishwa garini...
haikuwa rahisi kwa kila mpiga picha kuweza kupenya na kupata picha, picha hizi unazoziona ni kwa hisani kubwa ya MichuziBlog

No comments:

Post a Comment