Baada ya Ney wa mitego kumdisi Haji Ramadhani kwenye wimbo wake mpya
unaojulikana kwa jina la Salam zao ambapo alisema "Haji Ramadhani kachoka yupo Gizani",
Haji sasa anasema hajafuria na
anaishukuru BSS na huu ni wimbo wake mpya aliofanya chini ya stodio za
Jaraman Record iliyopo kinondoni na video chini ya Apex Video by Pablo.
Haji anapenda kuwafahamisha mashabiki wake kua wakae mkao wa kula kwa
sasa anaandaa Movi yake ya kwanza ambapo nimoja ya kuonesha uwezo wake
kwenye upande wa kuigiza.
Nashukuru mungu Video yangu ina wiki moja
mpaka sasa na inafanya vizuri kwenye Tv stesheni za Tanzania na nnje
pia.
No comments:
Post a Comment