Katika
Tamasha hilo Wamealikwa Wasanii mbali mbali wa muziki wa Bolingo,
Kizazi Kipya, Taarabu, Maigizo, Ngonjera na Mashaili, kutoka kwa
wanafunzi mbalimbali hapa Nchini kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Cha Dar
es Salaam,University
of Dar es Salaam (UDSM), Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tanzania International Univarsity(TIU) chenye makao yake makuu nchini Marekani, Sokoine University of Agriculture,The Open University of
Tanzania,Ardhi University,State
University of Zanzibar,Mzumbe University,Muhimbili University of Health and
Allied Sciences,Nelson Mandela African Institute of
Science and Technology,University
of Dodoma,Mbeya University of Science and Technology,Hubert Kairuki Memorial University,International Medical and
Technological University,Tumaini
University Makumira,St. Augustine University of Tanzania,Zanzibar
University,Mount
Meru University,University
of Arusha,Teofilo
Kisanji University,Muslim
University of Morogoro,St. John's University of Tanzania,University
of Bagamoyo,Eckernforde
Tanga University,Catholic
University of Health and Allied,St. Joseph University In Tanzania,United African University of Tanzania,Sebastian Kolowa Memorial University,Tanzania International University. na Dar es Salaam City College(Dacico),
lengo la Tamasha ni kuwaandaa Vijana kuwa Viongozi na kuwajengea hali ya kujiamini jukwaani, kazini, na pia lengo lingine ni
kusaidia kupeleka elimu ya Mpiga Kura na ile ya Uraia kwa Jamii, ikiwa ni
pamoja na kusaidia kuleta hali ya Utulivu hapa Nchini.
katika
Tamasha hilo Wasanii wakongwe wote wa Muziki, Vichekesho, Sarakasi, na
wachezaji maarufu mbalimbali wamealikwa kuhudhuria ambapo kwa upande
wa muziki aina zote za wanamuziki wamealikwa wakiwamo wa miziki ya
Bolingo, Kizazi Kipya, Rage, Taarabu, na michezo yote itaanza mapema
asabuhi saa 3:00 na kuendelea, ambapo michezo na maonyesho mengine
ambapo wanavyuo wameandaa Dibate Mijadala kwa ajili ya Kuelimisha jamii
juu ya Misingi ya Demokrasia na Utawala Bora chini ya Mfumuko wa Vyama
Vingi
vya Siasa.
Bado
tunaendelea na kuomba Wadhamini kujitokeza ili kuweza kufikia malengo
isipokuwa waliojitokeza na ambao bado wanaendelea na mazungumzo ni
pamoja na BAHATI NA SIBU YA TAIFA, PEPSI, DUME kupitia watu wa Marekani,
Tamali Hoteli, CXC Tours & Safari, Tanzania International
University(TIU), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Dar es Salaam City
College, Mama Mtwana Cataring, Nawina Resort Mbagala,
Nasaha na Ushauri za Miss Demokrasia Tanzania ni pamoja na kuwapa pole wote wanaoendelea kuwa
wagonjwa, wenye matatizo mbalimbali, wajane,
na wanaoendelea kuelemewa na kila aina ya mizigo, kwamba maisha si kuwa
na wasiwasi juu ya yote, siku zinavyosogea kuelekea Uchaguzi, kunazidi kuibuka
mijadala, na minong;ono kutoka kwa baadhi ya wananchi kwamba pengine hali ya
upotvu wa amani unaweza kujitokeza na kuleta machafuko kwa kuwa kumeibuka
ushindani mkuu kati ya vyama viwili vya uchaguzi, Chama Tawala CCM ,dhidi ya
CHADEMA, Ushauri wetu na nasaha zetu kwako ni kwamba Kikubwa ni kuhakikisha
Unatumia Haki yako ya Msingi katika kupiga kura(kuchagua Kiongozi Bora na Siyo
Bora Kiongozi).kwa maana akichaguliwa kiongozi kwa kufuata haki na Misingi ya
Demokrasia, hakuna Mtu wa Mtanzania yeyote atakayediliki kunyoosha kidole chake
kwa maana haki imetumika, Baadhi ya Wananchi wameanza kuweka midomoni mwao Kitu
mawazo ya kile kinachidaiwa na wao kuwa
pengine hali ya wasiwasi inazidi kukua siku hadi siku miongoni mwetu kwa
kuhofia vita ya sisi kwa sisi itakayosababbishwa na kugombea madaraka. je hayo
madaraka wanayogombea ni mali ya Nani? jibu ni wazi tu kwamba ni mali yako wewe
ndugu mtanzania, kwa hiyo kumbe ugomvi kama ni kutokea tatizo inakuwa ni sisi
na siyo Demokrasia, kwa hiyo tusikubali hata kidogo kutumikia mabwana wawili
kwa maana mmoja atakushinda na ndipo hayo yote yanaweza kujitokeza, kile kinaitwa Mapigano(Vita), lakini Kampuni hii ya Miss
Demokrasia Tanzania inakuhakikishia kwamba Usiwe na wasiwasi kwa maana hakuna
jambo lolote baya litakalojitokeza kwa kuwa watanzania tayari Wamefunguka na
wanaendelea kupanuka kifikra na kimawazo, ni wapumbavu wachache sana yaani
kikundi cha watu wachache sana ni sawa na asilimia 5 katika 100 wanaowaza na
kufikilia Mapambano, Mapigano,na Vita.Zingatia kutoshirikiana na kukubaliana na
mawazo ya mtu mpumbavu, mshawishi, mlaghai,Mwivi,Wauaji,usikubali kutoa ama
kupokea Rushwa, wakati sasa umefika wa kutambua umuhimu wa haki, uhuru, na
kutambua kwamba je ni kwa nini viongozi wanawajibika kwetu kama watumishi?
kutambua wajibu wa Viongozi kwa jamii na wajibu wa jamii kwa viongozi,na baada
ya kutafakari hayo kumbe je ni kweli kwamba Jamii ndiyo Mwajiri wa Kiongozi
wake, je Bosi ni nani kati ya Jamii yaani wewe na Serikali?. je nani anapaswa
kumtumia mwenzake? je ukiwa na watoto wagomvi, wezi, wasema uongo, wasiyotii
maagizo yako ndani ya nyumba yako ama
ofisini mwako, nini matarajio yake ya
baadae? jitokeze kuunga na kufanikisha juhudi za waandaaji wa TAMASHA LA
DEMOKRASIA TANZANIA 2013/15 au unaweza kuwasiliana na wahusika kwa mchango
wako, mawazo yako, nia yako, ili tuwe ni wafuasi bora wa imani ya Dini zetu,
makabila yetu, na kuhakikisha tunashirikiana kumchagua kiongozi mwadilifu,
msikivu, mwenye kulilia maslai ya Umma na mtekelezaji bora wa majukumu ya
serikali, atakaye endeleza Muungano na kuhakikisha Tanzania inakuwa ni Taifa
Moja lenye Umoja na Mshikamano kwa ajili
ya kulinda na kuhifadhi rasilimali za Taifa, Mistu na Madini, Wanyama, na
Ardhi. tupigie simu kwa jambo lolote
+255-713-868209,
+255-713/767-869133
+255-719-592659
No comments:
Post a Comment