MISS
TANZANIA 2013: Happiness Watimanywa ametwaa taji la Redds Miss Tanzania
2013/14 katika shindano lililofanyika Mlimani City, Dar es salaam na kumrithi
Brigitte Alfred. Miss Tanzania huyu ni 'kichwa' i mean ana akili sana ukilinganisha na wale waliopita, lets keep our finger close n hope fo the Best from her.........
Mrembo amekabidhiwa zawadi ya gari aina ya IST na TSh 8 milioni, huku Latifah
Mohammed na Clara Bayo pembeni wakichukua nafasi ya pili na ya tatu respectively...
2010; Mkurugenzi wa ukaguzi wa shule za sekondari nchini
na kaima kamishna Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi Mrs. Wasena
akitoa hotuba ya kumpongeza Happiness Watimanywa kwa kufanya
vizuri katika mitihani yake ambapo mrembo huyu aliongoza kwa kufanya
vizuri katika shule 150 duniani za mtandao wa IGCSE, Happiness alikuwa
akisoma katika shule ya Saint Constantines International School ya
Arusha.
No comments:
Post a Comment