Monday, September 29, 2014

WASANII WAOMBWA KUJIANDIKISHA KONGAMANO LA SANAA UJERUMANI

Msanii Tabia Mwanjelwa mwenye gitaa akiwa na wasanii wenzie jukwaani Koloni Ujerumani siku za nyuma!

Tamasha litafanyika mjini Koloni,Ujerumani 8 November 2014


Wasanii wanaotaka kushiriki katika katamasha la kongamano la wasanii wa Tanzania na afrika mashariki linalotarajiwa kufanyika mjini Kolon, Ujermani siku ya 8 November 2014 mnaombwa mjiandikishe kwa kuwasiliana katika namba ya simu  +49(0)15778645623 .
Tamasha hili linania ya kutangaza sanaa za maonyesho za Tanzania nchini ujerumani,wasanii wa ngoma za asili,Sarakasi,Maigizo, Muziki n.k mnakaribishwa kujiandikisha kushiriki Tamasha hili ,Wasanii mnaombwa mtumie nafasi hii kuonyesha vipaji vyenu 
katika uwanja wa kimataifa ili kujitangaza zaidi.

No comments:

Post a Comment