Monday, December 8, 2014

TANZANIA IS SHINNING!!

Tanzania imezidi kung'aa pande zote za Afrika kwa mara ya pili baada ya IDRIS mshiriki wa BBA HotShots kutoka TANZANIA kushinda na kuondoka na kitita cha us$300,000 akimshinda Mnigeria TAYO ktk Finali hiyo siku ya Jana......Shindano la BigBrother Africa lilikutanisha washiriki kutoka nchi 14 barani Afrika



Wiki iliyopita msanii DIAMOND alishinda Tuzo 3 za Channel O akiwashinda wasanii wengine kutoka nchi mbalimbali Afrika

No comments:

Post a Comment