Mwanamziki
Erica Lulakwa ambaye kwa hivi sasa anaishi na kufanya shughuli za
muziki nchini Marekani Los Angeles ameweza kutoa Albamu yake ya kwanza
inayo kwenda kwa jina la “PIGA MOYO KONDE.” Album ya Piga Moyo Konde
yenye nyimbo 10 Inapatikana katika vianzo vya muziki kama vile Google Play, Itunes na
kd. Karibuni, itaanza kupatikana Tanzania. Baadhi ya nyimbo ambazo
zimeshaanza kusikilizwa kwa wingi duniani ni kibao cha “DUNDIKA”
ambacho kina midundo ambayo inaendana na jina la wimbo wenyewe na utamu
usio na mwisho.
Kwa maelezo zaidi kuhusu Erica unaweza kumpata kutumia:-
No comments:
Post a Comment