“Alhamdulilahi Mungu ni
mwema sana sana… hatuna cha kumlipa zaidi ya kumuabudu kumtukuza na
kumshukuru, namshukuru sana Mungu wangu na nashukuru pia mke wangu
@wahyda_bysers_heart kwa kuniletea zawadi nyingine nzuri… nimepata mtoto
mwingine wa kike ndugu zangu anaitwa #khairriyaaa… ahsante Mungu kwa
kunipa baba na mama wa kunilea tena uzeeni…”
No comments:
Post a Comment