
''Operesheni hii pia ilifanyika katika Nchi za jirani ikiwemo Kenya na Uganda kwa lengo la kufanikisha operesheni hii kwa Nchi za Afrika Mashariki kwa dhumuni la kuondoa dawa bandia katika nchi za afrika'' alisema Mkurugenzi wa makosa ya jinai BwRobert Manumba alipoongea na wanhabari majuzi 7 sept.
No comments:
Post a Comment