Wabongo wa2 wenye bahati zao watasafiri mpaka Luanda, Angola kwa gharama za benki ya Stanbic kushuhudia fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazoanza kurindima Jan. 9 mwakani. Inshu yenyewe inaitwa “Open, Use and Win,” unachotakiwa mdau ni kufungua akaunti mpya, uitumie ndipo unaweza kubahatika!!!
No comments:
Post a Comment