Monday, August 31, 2009

TUZO ZA MTV 2009, MWISHO KUWAPIGIA KURA 'AY' NA 'SHAA' NI SEPTEMBA 20!!



Ambwene Yesaya 'AY' na Sara Kaisi 'SHAA' kulia wakizungumza na waandishi wa habari hii leo kuhusiana na tuzo zinazowakabili za Mtv, Watanzania na ma-fans wote wa AY na Shaa tuwapigie kura wasanii wetu waweze kutwaa tuzo hizo zitakazotolewa hivi karibuni jijini Nairobi Kenya Oktoba 1o mwaka huu.


Kuwapigia kura nenda http://www.mama.mtvbase.com/ au http://www.mtvmama.mobi/.mwisho wa kupiga kura ni J2 ya tarehe 20 Septemba. Pia unaweza kutuma sms kutumia simu yako ya mkononi kwenda namba 0789777333

TU-VOTE WADAU HAWA NDIO WASANII WETU, AU......!?

No comments:

Post a Comment