Eliza kulia akiwa na Keli mwanamuziki wa USA alipoenda kuwatumbiza jumbani wiki iliyopita
Mapema Usiku wa kuamkia leo mwakilishi wa Tanzania na mshirika wake Kevin kutoka Nigeria walidumbukizwa ktk msala wa kutolewa ktk jumba la mashindano ya Bigbrother yanayoendelea baada ya kiongozi wa jumba hilo kwa wiki hii kuwachomeka wao akijiokoa ye mwenyewe na mshirika wake Mzamo kutoka Malawi.
Eliza na Kevin
Wadau tumpigie kura mwakilishi wetu Elizabeth na Kevin, aendelee kupeperusha bendera yetu vyema. MUNGU MBARIKI ELIZABETH.... MUNGU BARIKI TANZANIA....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment