Kwa mara ya pili mfululizo wiki ya mitindo –Swahili Fashion Week (SFW) itafanyika tena jijini Dar Es Salaam na kuwapa wapenda mitindo siku tatu zilizojaa shoo za mitindo za aina mbali mbali.
Dorothy Lubega mmoja wa ma-designer kutoka Uganda
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa onyesho
Christine Mhando designer wa Tanzania
Wiki ya Mitindo ya mwaka huu itajumuisha wabunifu mavazi 14 kutoka mikoa mbali mbali nchini na wabunifu 6 kutoka nje ya nchi na maonyesho hayo ya mavazi yatafanyika tarehe 4 hadi 6 novemba mwaka huu katika viwanja vya Karimjee jijini
No comments:
Post a Comment