Mc Babu Ayub ambaye ametoka na nyimbo yake mpya ya taarabu 'CHAJA YA KOBE' iliyokamata vivuri Bongo, atapambana na wasanii wengine wa bongofleva ktk jukwaa moja, nawazungumzia Dulayo na crew nzima ya Makavu-live bila kumsahau Q JAY member from Wakali kwanza na Mlkia wa Taarab nchini Tanzania Khadija Omary Kopa
Malkia wa mipasho TZ
Dullayo
No comments:
Post a Comment