Thursday, January 28, 2010

Mzigo mpya wa 50 Cent waanza kupata mafanikio!!

Album mpya ya Kiongozi wa G-Unit 50 cent 'Before I Self Destruct' imepewa certificate ya gold ambayo hutolewa baada ya kufikisha mauzo ya copy 500,000. Single yake ya "Baby By Me," iliyopo ktk hio album BISD imeendelea kufanya vizuri tangu alipo-release mwaka jana kiasi cha kuingia tatu bora ya album zenye mafanikio zaidi (most successsful rap album of ‘09).

Fif anaiamini sana album yake hii ya nne kuwa itafanya vizuri pamoja na kuvuja mwezi mmoja nyuma kabla ya kutoka!

"All you gotta do is get the response," Fif explained to radio personality Jenny Boom Boom. "The response is so well, so good, that I know the record is a hit. So whether the consumed it from actually purchasing it or they got it off the web or wherever they got it from, when they hear it and enjoy it, they end up at the show. How can I focus on album sales now when it's to the point where my record is released four weeks before schedule. The marketing, everything that's planned to sell the actual record, is happening four weeks late, now that the record is out a month early. You know, those things are happening after they had an opportunity to hear it and it's confirmation to the doubters that the record wouldn't be good." (Jenny Boom Boom TV)

No comments:

Post a Comment