Mdau, saidia maafa ya mafuriko yaliyowakuba ndugu zetu wa Kilosa na Dodoma hivi karibuni kwa kuchangia japo kidogo tu, ni rahisi sana tuma neno maafa kwa simu ya mkononi kwenda namba 15599 ni Tshs. 250 tu, fanya mara nyingi kuchangia tena na tena, huduma hii inaendeshwa na kampuni ya simu ya Vodacom! pia zipo njia zingine za kuchangia km M-pesa au unaweza fatilia kituo cha redio Clouds Fm iliyopo Mikocheni na ukawasilisha mchango wako!
Tayari wadau mbalimbali wameshajitokeza ktk harambee hii hasa kupitia redio Clouds fm, wasanii kibao na wadau wa makampuni kibao wametoa michango yao.
BAADHI YA MATUKIO YA MAFURIKO KILOSA KTK PICHA
sehemu kubwa zimefunikwa na maji/tope
baadhi ya kambi za wananchi waliopoteza kabisa makazi yao
wengi wanaishi ktk vyumba vya madarasa na shule zimefungwa
hali ni mbaya,
watoto lazima wasaidie
baiskeli zinabebwa ili uweze kupita
kwa hali ilivyo magojwa kutokana na mkusanyiko wa maji yanaweza kutokea
No comments:
Post a Comment