MAKAVULIVE BLOG
Monday, February 1, 2010
Chid Benz awafuata P-Unit Kenya..!
Msanii mkali wa hiphop hapa bongo Chid benz amekwenda nchini Kenya ktk pilika za kufanya video ya nyimbo yake inayokwenda kwa jina la
Chaguo Langu
akiwa ameshirikiana na kundi la wasanii kutoka Nairobi Kenya la P-Unit.
P-Unit
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment