Miss Tanzania Miriam Gerald akielekezwa gereza la keko.
Bosi wa Miss TZ Bw. Hashim Lundenga
Baada ya kusomewa mashtaka yaliyomfikisha kizimbani leo, Miss Tanzania Miriam Gerald amekosa dhamana na kupelekwa lupango ktk gereza la keko mpaka tarehe 25 February kesi yake itakapotajwa tena.
No comments:
Post a Comment