Thursday, July 8, 2010

AY na MwanaFA wamsapoti 'Sista V' kugombea Ubunge Rukwa...!


Mwanamuziki wa kizazi kipya Abwene Yesaya akimkabidhi shilingi laki moja kwa Katibu msaidizi wa Idara ya Itikadi na Uwenezi pia ni Mjumbe wa NEC Chama cha Mapinduzi CCM, Violet Mzindakaya kwa ajili ya kwenda kuchukulia fomu ya kugombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa Rukwa pesa hizo zimetolewa na wasaniaa Hamisi Mwijuma 'mwana FA na Abwene Yesaya AY kwa ajili ya kumpa sapoti kijana mwenzao ili aende kuwawakilisha vema bungeniMSANII wa Muziki wa kizazi kipya nchini Ambwene Yesaya 'AY' na Hamisi Mwinjuma 'Mwana FA', kwa pamoja wamemchangia sh. 100,000 mjumbe wa Halmashauri Kuu wa Chama cha Mapinduzi CCM (NEC) Violet Mzindakaya 'Sister V' kwa ajili ya kuchukua fomu ya ugombea wa nafasi ya viti maalum Mkoa wa Rukwa.
Shime vijana wengine wenye uwezo jitokezeni kuwania nafasi za uongozi wa ktk uchaguzi mkuu ujao, tuko pamoja na tunawasapoti sana!!! - Makavu blog.

No comments:

Post a Comment