![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjo-3Iw2AAGuIr-8-JChFpKXaourBObxyKchHQdj2wc3ISKzWcsY_fm9oGLXrB8Llb_SLeWHx05avuYOltSPVnWuW6KJj2x3tfPmXNLEV1BpLKDryzsAqVSB1lChGsDM54NEr6r1qwzZ_GG/s400/shy+ccm.jpg)
Shy-Rose Bhanji ajitosa ubunge jimbo la Kinondoni
· Asema mwaka 2010 ubunge unahitaji tafsiri mpya
· Aainisha maeneo nane atayoyafanyia kazi
· Kupiga vita utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana
· abainisha umuhimu wa ofisi kila kata ndani ya jimbo
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shy-Rose Sadruddin Bhanji ametangaza kujitosa katika nafasi ya ubunge jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia CCM na lengo lake kubwa ni kuwa kiungo muhimu katika jamii ya wanakinondoni.
Akitangaza azma yake ya kuomba ridhaa kwa wanachama wa CCM katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Shy-Rose alisema kwa mtazamo wake neno ubunge kwa mwaka 2010 linahitaji tafsiri mpya kabisa. `…kwa sasa mbunge anatakiwa kuwa ni kiungo cha jamii badala ya kuwa mwakilishi wa jimbo kama ilivyozoeleka` alifafanua Shy-Rose.
`Mwaka 2010 ni mwaka wa mabadiliko na ndio maana nimeona kwamba ili kila mwananchi kuweza kuwajibika, nafasi ya mbunge inahitaji kutafsiriwa upya ili iendane na wakati na matatizo ambayo yanayotukakabili wananch` alisema.
· Asema mwaka 2010 ubunge unahitaji tafsiri mpya
· Aainisha maeneo nane atayoyafanyia kazi
· Kupiga vita utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana
· abainisha umuhimu wa ofisi kila kata ndani ya jimbo
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shy-Rose Sadruddin Bhanji ametangaza kujitosa katika nafasi ya ubunge jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia CCM na lengo lake kubwa ni kuwa kiungo muhimu katika jamii ya wanakinondoni.
Akitangaza azma yake ya kuomba ridhaa kwa wanachama wa CCM katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Shy-Rose alisema kwa mtazamo wake neno ubunge kwa mwaka 2010 linahitaji tafsiri mpya kabisa. `…kwa sasa mbunge anatakiwa kuwa ni kiungo cha jamii badala ya kuwa mwakilishi wa jimbo kama ilivyozoeleka` alifafanua Shy-Rose.
`Mwaka 2010 ni mwaka wa mabadiliko na ndio maana nimeona kwamba ili kila mwananchi kuweza kuwajibika, nafasi ya mbunge inahitaji kutafsiriwa upya ili iendane na wakati na matatizo ambayo yanayotukakabili wananch` alisema.
No comments:
Post a Comment