Verse I
Nimeiteka dunia nzima/
Nahili swagga langu la kiutu uzima/
Full kujiachia mwanangu huwezi kupima/
Kama Dar kila jiji wakazi nina zizima/
Of course Chi huitaji maswali/
It’s the most special baada ya Ukonga stakishari/
Nina wana who hold me down mashariki ya mbali/
sehemu ambazo kwenda lazima uvuke bahari/
Kwanza twende Helsinki ndani ya finland/
Yupo binamu Goshashy na big dogg Bya/
Huko mimi nikitinga misosi Napata na Beer pia/
Na naendeleza utamaduni wa kitanzania/
Ulaya nzima mpaka alipo Beatus Wambali/
Whos the father of all knowledge pia ni MTU HODARI/
Uzalendo wenu daima huwa wa vitendo/
Ndo maana nawa salute kwa amani na upendo/
lets go!
chorus
Kila kona mimi nina mashabiki/
Magharibi kusini kaskazini na mashariki/
Ugh follow me kama maneno huyasadiki/
Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Kila kona mimi nina mashabiki/
Magharibi kusini kaskazini na mashariki/
Ugh follow me kama maneno huyasadiki/
Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Verse II
Nna mashibiki mpaka bara la asia/
Watu ambao nyimbo zangu nazo hawajawahi kusikia/
Ila kwa moyo wote bado wanashangia/
Ukiwauliza kwanini eti swagga linawavutia/
Ukienda UK yupo Fau so Real/
Im good on the daily ndani ya hivyo visiwa/
From Leicester, Manchester, Leeds to London/
Liverpool, Edinburgh, Wales, mpaka Birmingham/
Ya’ll got beautiful girls moyo wangu wanautibu/
Wananipa ninachotaka na tena bila aibu/
Shout out to Sanka, William Sereki, King Tibu/
Kenneth Mwazyunga Blackberry message hebu zijibu/
Mashabiki kila kona wasanii wananionea wivu/
Ndo maana kila nikikicha mimi wanaanzisha bifu/
Huwezi amini nna ma fans yaani mpaka ujerumani/
Kila kona ya dunia utadhani mbuni ramani/
chorus
Kila kona mimi nina mashabiki/
Magharibi kusini kaskazini na mashariki/
Ugh follow me kama maneno huyasadiki/
Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Verse III
Ukirudi mtoni Iowa yupo Nsia na J Hux/
Kwa zake kick na snare its always a good look/
Michigan Grand Rapids n Detroit they make noise/
Shout out to Bfinest, Kawa na Chingaboy/
Hali yenu ya hewa inafanana na Chi/
Ndo maana kimuziki mimi ninaendana na Gwaii/
West coast sio siri mimi sijawahi fika/
Ila soon nitajiri Ms. Ouellette kanialika/
Pia kwa Edwin Mtei Konyagi mpaka tapika/
Total knockout, kwa T K nitapita/
Kisha nikitoka hapo ni straight dirty south/
Where all the girls at, LBT whats up/
From Texas to Atlanta na napo ni nyumbani/
Shoutout to Sajo, Justehll, Carlos na Karabani/
DC, Maryland, Virginia yupo AJ Ubao/
So utamaduni unaendelea kama mkuki na ngao/
Word up Faith, Young Replay and Dee Money/
Kay and Lillian see aint a damn thing funny/
Tennessee yupo Big Thabeet/
Massachusset Springfield yupo Lil Thabeet/
Without forgettin out the Big city of New York/
David Daz holds me down plus ma nigga Dru York/
Goerge na Stanboi hold me down in Kansas state/
All the way to Florida, I’m in state to state/
chorus
Kila kona mimi nina mashabiki/Magharibi kusini kaskazini na mashariki/Ugh follow me kama maneno huyasadiki/Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Yeah shoutout to Columbus Ohio you know what Im sayin, you know I love ya’ll man…Ukonga, Chicago ya already know what it is…Albino Fulani, Jackie MissTanzania, Phat Black, Chibo, Kondwani, Akili Mtaalam, DJ Kvelli, Mkwawa Siblings, Sophia, Mohamed Mohamed, U know I remember…Indiana, Benny Sikare whats Up!! Wisconsin, Boston, Franklin Word up!Massachusett, Dee Sombe The Swagga Continues hahaha….Dallas, maaan Daudi, Abdillah Kinyaga u know what im sayin…Nigeria, Demola Fashola whats up man?!Tennessee Nashville, Yuzo word up? I love you my brother......
Nimeiteka dunia nzima/
Nahili swagga langu la kiutu uzima/
Full kujiachia mwanangu huwezi kupima/
Kama Dar kila jiji wakazi nina zizima/
Of course Chi huitaji maswali/
It’s the most special baada ya Ukonga stakishari/
Nina wana who hold me down mashariki ya mbali/
sehemu ambazo kwenda lazima uvuke bahari/
Kwanza twende Helsinki ndani ya finland/
Yupo binamu Goshashy na big dogg Bya/
Huko mimi nikitinga misosi Napata na Beer pia/
Na naendeleza utamaduni wa kitanzania/
Ulaya nzima mpaka alipo Beatus Wambali/
Whos the father of all knowledge pia ni MTU HODARI/
Uzalendo wenu daima huwa wa vitendo/
Ndo maana nawa salute kwa amani na upendo/
lets go!
chorus
Kila kona mimi nina mashabiki/
Magharibi kusini kaskazini na mashariki/
Ugh follow me kama maneno huyasadiki/
Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Kila kona mimi nina mashabiki/
Magharibi kusini kaskazini na mashariki/
Ugh follow me kama maneno huyasadiki/
Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Verse II
Nna mashibiki mpaka bara la asia/
Watu ambao nyimbo zangu nazo hawajawahi kusikia/
Ila kwa moyo wote bado wanashangia/
Ukiwauliza kwanini eti swagga linawavutia/
Ukienda UK yupo Fau so Real/
Im good on the daily ndani ya hivyo visiwa/
From Leicester, Manchester, Leeds to London/
Liverpool, Edinburgh, Wales, mpaka Birmingham/
Ya’ll got beautiful girls moyo wangu wanautibu/
Wananipa ninachotaka na tena bila aibu/
Shout out to Sanka, William Sereki, King Tibu/
Kenneth Mwazyunga Blackberry message hebu zijibu/
Mashabiki kila kona wasanii wananionea wivu/
Ndo maana kila nikikicha mimi wanaanzisha bifu/
Huwezi amini nna ma fans yaani mpaka ujerumani/
Kila kona ya dunia utadhani mbuni ramani/
chorus
Kila kona mimi nina mashabiki/
Magharibi kusini kaskazini na mashariki/
Ugh follow me kama maneno huyasadiki/
Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Verse III
Ukirudi mtoni Iowa yupo Nsia na J Hux/
Kwa zake kick na snare its always a good look/
Michigan Grand Rapids n Detroit they make noise/
Shout out to Bfinest, Kawa na Chingaboy/
Hali yenu ya hewa inafanana na Chi/
Ndo maana kimuziki mimi ninaendana na Gwaii/
West coast sio siri mimi sijawahi fika/
Ila soon nitajiri Ms. Ouellette kanialika/
Pia kwa Edwin Mtei Konyagi mpaka tapika/
Total knockout, kwa T K nitapita/
Kisha nikitoka hapo ni straight dirty south/
Where all the girls at, LBT whats up/
From Texas to Atlanta na napo ni nyumbani/
Shoutout to Sajo, Justehll, Carlos na Karabani/
DC, Maryland, Virginia yupo AJ Ubao/
So utamaduni unaendelea kama mkuki na ngao/
Word up Faith, Young Replay and Dee Money/
Kay and Lillian see aint a damn thing funny/
Tennessee yupo Big Thabeet/
Massachusset Springfield yupo Lil Thabeet/
Without forgettin out the Big city of New York/
David Daz holds me down plus ma nigga Dru York/
Goerge na Stanboi hold me down in Kansas state/
All the way to Florida, I’m in state to state/
chorus
Kila kona mimi nina mashabiki/Magharibi kusini kaskazini na mashariki/Ugh follow me kama maneno huyasadiki/Im everywhere na hiyo ni sababu ya muziki/
Yeah shoutout to Columbus Ohio you know what Im sayin, you know I love ya’ll man…Ukonga, Chicago ya already know what it is…Albino Fulani, Jackie MissTanzania, Phat Black, Chibo, Kondwani, Akili Mtaalam, DJ Kvelli, Mkwawa Siblings, Sophia, Mohamed Mohamed, U know I remember…Indiana, Benny Sikare whats Up!! Wisconsin, Boston, Franklin Word up!Massachusett, Dee Sombe The Swagga Continues hahaha….Dallas, maaan Daudi, Abdillah Kinyaga u know what im sayin…Nigeria, Demola Fashola whats up man?!Tennessee Nashville, Yuzo word up? I love you my brother......

No comments:
Post a Comment