Monday, August 23, 2010

Kwenye majukwaa yenu ya kampeni, wasanii wanaharakati ndio hasa wanaostahili kutumbuiza sio wabana-pua...!

Nazungumzia wasanii wa hiphop wenye mashairi ya kiharakati kuwa ndio kipindi chao cha kusikilizwa zaidi kuliko wale wanaoimba zaidi nyimbo za 'nakupenda sana' huku wakibana pua na kuonekana kupendwa zaidi na watu....




so wanaopanga burudani ktk majukwaa ya siasa za kampeni waliangalie hili kwa jicho la tatu!!!!



Tusikilize nyimbo kama ya
ROMA - TANZANIA

BONTA - NAUZA KURA YANGU

KALA JEREMIAH - WIZI MTUPU na wengine kibao kama hao halafu tuone!









Blog ya Makavu inawatakia kila Lakheri ktk Kampeni....!!
KURA YAKO NDIO MKOMBOZI WAKO


No comments:

Post a Comment