
Wasanii chipukizi wa Bongo wametajwa kwenye Awards za Kenya km wanavyoendelea kutesa pande hizi za Tanzania......
Its Lina, Diamond and Baby Madaha..... ambao wametusua ktk category za Best female Bongo na Best Male Bongo wakiwa wameambatana na wasanii wengine ambao ni Chege, Hussein Machozi, Ally Kiba, Marlow, Ray C, Maunda Zorro na Mwasiti
No comments:
Post a Comment