Mungu akusamehe madhaifu yako na akupe pumziko la amani la milele Abdallah. Hakika ulijitahidi kusimamia familia yako tangu kifo cha baba yako.. Thawabu yako iko mbinguni Abdallah. Utakumbukwa kwa mema yote na moyo wako wa upendo uliojaaliwa na Mungu. Umeondoka ungali kijana mdogo bado ila tunaamini kuwa kazi uliyopewa na Mungu duniani ilimalizika that's why aliruhusu uondoke. Mungu na ailinde na kuiangalia familia yako (mama yako, mke wako, mwanao, wadogo zako) Amen.
Mungu akusamehe madhaifu yako na akupe pumziko la amani la milele Abdallah. Hakika ulijitahidi kusimamia familia yako tangu kifo cha baba yako.. Thawabu yako iko mbinguni Abdallah. Utakumbukwa kwa mema yote na moyo wako wa upendo uliojaaliwa na Mungu. Umeondoka ungali kijana mdogo bado ila tunaamini kuwa kazi uliyopewa na Mungu duniani ilimalizika that's why aliruhusu uondoke. Mungu na ailinde na kuiangalia familia yako (mama yako, mke wako, mwanao, wadogo zako) Amen.
ReplyDelete