Tuesday, May 3, 2011

OSAMA aweka rekodi mpya TwiTTer...



Osama bin Laden

Habari za kifo cha OSAMA zimetapakaa duniani kote na kila mtandao wa kijamii kuzungumzia kuhusu kifo hicho, katika mtandao maarufu duniani Twitter Osama amevunja na kuweka Rekodi ya kuzungumziwa zaidi ambapo watumiaji wa Twitter wamekuwa wakituma messege zaidi ya 3440 kila sekunde.


Wakuu wa Taifa la Marekani wakionozwa na Obama wa2 kushoto wakifatilia sakata la kifo cha Osama ktk Luninga ya Ikulu jijini Washington D.C

Twitter users posted messages at an average rate of 3,440 tweets per second, according to the company's public relations news feed.

U.S. military operation kills 9/11 mastermind Osama bin Laden, President Obama announces

"Last night saw the highest sustained rate of tweets ever," the company wrote about the period from 10:45 p.m. - 2:20 a.m. ET. The peak tweeting time came at 11 p.m. ET when there were 5,106 tweets per second.

However, it is unclear what other highly tweeted events were beat out for this new record made Sunday night. The fastest rate of tweeting ever happened on New Year's Eve in Japan when users posted 6,939 tweets per second, but it was only for the first four seconds after the New Year, not the sustained period of tweeting seen with bin Laden's death.





Americans celebrate bin Laden's death

No comments:

Post a Comment