
Wakati huo huo Ommy G alipatwa na msiba mkubwa sana ktk maisha yake alipompoteza Baba yake mzazi siku ya ijumaa na kuzikwa siku iliyofuatiwa.
D-timing akiongea huku akitia huruma alisema majamaa wamemrudisha nyuma kimtindo lakini alikuwa jasiri na kumpa pole mchizi wake Ommy G kwa kuwa yeye alikuwa amefikwa na makubwa zaidi
No comments:
Post a Comment