Saturday, April 7, 2012

R.I.P STEVEN KANUMBA, The Great!

Mwili wa Marehemu Steven Kanumba ukiwa 'Chumba cha maiti' Muhimbili Hospital.
Blog ya Makavu inaungana na Taifa, ndugu na jamaa wote ktk msiba huu mkubwa ambao tumeupata baada ya kumpoteza kaka yetu Steven Kanumba usiku wa kuamkia leo,

MUNGU AILAZE ROHO YA STEVEN KANUMBA MAHALI PEMA PEPONI, AMINA.

No comments:

Post a Comment