Wednesday, May 9, 2012

JEMBE JIPYA KUTATUA MASLAHI YA WASANII BONGO

Mh. Fenela Mukangara


Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Dk. Fenela Mukangara akila kiapo mbele ya Rais Jakaya Kikwete katika viwanja vya IKULU jijini Dar es salaam, hivi karibuni

Alipoishia Dk. Nchimbi ni pazuri sana kuendelezea na kufikia safari yetu ya KUDAI MASLAHI YA WASANII NCHINI TANZANIA!!!
Our eyez On U Mheshimiwa.

No comments:

Post a Comment