Wednesday, May 9, 2012

New Sound; HUYU SHORY - B Man ft. MirryCandle & Slimdizzy


Bman, yule yule wa "Bonge la toto" enzi  ya "HOTPOT" family awashirikisha Kc toka  FBG,mdada MirryCandle pamoja na Slimdizzy toka Northdwellers,

Wote wakiwa ni artists toka kaskazini mwa tanzania pande za arachuga,collabo hii ya kipekee sana kwani ni ya kwanza iloweza kuwakutanisha baadhi yao kwa mara ya kwanza,Idea ya hii track niliipata tu nikiwa mishemishe za kuuza tshirt zangu mpya za "MY STYLE" kwa mtaa,

 Nikamchek Defxtro ambaye alinipa mwongozo zaidi katika kuisuka kuwa collabo unique zaidi na pia kuipa ladha ya dancehall vile,Otherwise hii naitoa straight from noizmekah.com kwa fans wangu wote Tanzani ana Duniani Kote,Nawapenda sana kwasababu mnaniamini...

No comments:

Post a Comment