Tuesday, April 9, 2013

New Sound; BADILIKA - Mon G ft. P The MC


Baada ya kuachia 'NA WEWE' Mon G akimshirikisha 'P The MC' msanii mkali wa michano kutoka Miraba mi4 Tamaduni Muzik ameachia nyimbo nyingine ikiwa ktk mahadhi ya R&B, inaitwa "BADILIKA"......Enjoy!

No comments:

Post a Comment